Kiungo wa Ureno, Rafael Alexandre 'Rafa' akimpiga tobo Bartosz Bereszynski wa Poland huku mchezaji mwenzake, Przemyslaw Frankowski akishuhudia katika mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya jana Uwanja wa Dom Afonso Henriques mjini Guimaraes timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Andre Silva alianza kuifungia Ureno dakika ya 33 akimalizia pasi ya Renato Sanches, kabla ya Arkadiusz Milik kuisawazishia Poland kwa penalti dakika
66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment