• HABARI MPYA

    Sunday, November 18, 2018

    ZAMOYONI MOGELLA ENZI ZAKE YANGA SC ALIKUWA MOTO KAMA HIVI

    Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Zamoyoni Kondo Mogella aliyevuma kwa majina ya utani ya Golden Boy na DHL akimtoka beki wa Small Simba ya Zanzibar katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Small Simba ilishinda 2-1
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZAMOYONI MOGELLA ENZI ZAKE YANGA SC ALIKUWA MOTO KAMA HIVI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top