Refa David Coote akimuonyesha kadi nyekundu mchezaji wa Arsenal, Matteo Guendouzi baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Emirates mjini London. Arsenal ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Stephan Lichtsteiner dakika ya 33 na Emile Smith Rowe dakika ya 50, wakati la Paudie O'Connor dakika ya 66 ambaye alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumchezea rafu Pierre-Emerick Aubameyanna sasa The Gunners watakutana na Tottenham Hotspur katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment