Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MTN FA Cup: Defending champions Dreams FC set to take on Soccer
Intellectuals in quarterfinals
-
Defending champions Dreams FC will enter the quarterfinals with optimism as
they have been drawn to face Soccer Intellectuals in this season's MTN FA
Cup.T...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment