Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment