Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment