Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment