Ousmane Dembele akishangilia na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kutokea benchi zikiwa zimesalia dakika 10 na kuifungia bao la kusawazisha timu hiyo dakika ya 90 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, kufuatia Diego Costa kuanza kufunga dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Mock Draft: McCarthy to Vikings, Nix to Broncos as 5 QBs
Go Top 12
-
Now that the first wave of free agency is in the books, ESPN's Mel Kiper
Jr. has released his third mock draft of the offseason. The top four picks
remain ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment