Mshambuliaji wa Benfica, Haris Seferovic akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Uswisi hat-trick katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Ubelgiji jana Uwanja wa Swissporarena mjini Luzern kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya. Seferovic alifunga dakika za 31, 44 na 84, wakati mabao mengine ya Uswisi yamefungwa na Ricardo Rodriguez kwa penalti dakika ya 26 na Nico Elvedi dakika ya 62, wakati mabao ya Ubelgiji yamefungwa na Thorgan Hazard yote dakika za pili na 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment