• HABARI MPYA

    Saturday, November 17, 2018

    NEYMAR AFUNGA BAO PEKEE BRAZIL YAILAZA 1-0 URUGUAY LONDON

    Nahodha wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 76 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Uruguay kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Emirates mjini London ulioshuhudiwa kadi nane za njano zikitolewa kwa wapinzani hao wa Amerika Kusini 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AFUNGA BAO PEKEE BRAZIL YAILAZA 1-0 URUGUAY LONDON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top