• HABARI MPYA

    Saturday, November 24, 2018

    SALAH AFUNGUA BIASHARA NZURI LIVERPOOL YASHINDA 3-0

    Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 67 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 76 na Roberto Firmino dakika ya 89 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AFUNGUA BIASHARA NZURI LIVERPOOL YASHINDA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top