Bao lingine la Uholanzi lilifungwa na Quincy Anton Promes dakika ya 85 baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya
Timo Werner dakika ya tisa na Leroy Sane dakika ya 19.
Uholanzi inatinga Nusu Fainali ya michuano hiyo kama kinara wa kundi ikiizidi kwa wastani wastani wa mabao Ufaransa baada ya wote kumaliza na pointi saba, huku Ujerumani ikishika mkia kwa pointi zake mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment