• HABARI MPYA

    Wednesday, November 28, 2018

    RONALDO AMSETIA MANDZUKIC KUIFUNGIA JUVE IKISHINDA 1-0

    Cristiano Ronaldo wa Juventus (kulia) akimtoka kiungo Mdenmark wa Valencia, Daniel Wass katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. 
    Juventus ilishinda 1-0, bao pekee la Mario Mandzukic akimalizia pasi ya Ronaldo dakika ya 59 na kwa matokeo hayo inamaliza kileleni mwa Kundi H kwa pointi zake 12, ikifuatiwa na Manchester United iliyomaliza na pointi 10 na zote zinakwenda hatua ya 16 Bora 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AMSETIA MANDZUKIC KUIFUNGIA JUVE IKISHINDA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top