• HABARI MPYA

    Wednesday, November 21, 2018

    BRAZIL YAICHAPA CAMEROON 1-0 KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI

    Mshambuliaji wa Everton, Richarlison akiwa juu kuifungia Brazil bao pekee dakika ya 45 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Milton Keynes mjini Buckinghamshire, England 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YAICHAPA CAMEROON 1-0 KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top