Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment