• HABARI MPYA

    Sunday, November 25, 2018

    YALIYOIKUTA CHELSEA WEMBLEY...WAMEPIGWA 3-1 NA SPURS

    Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min akimtoka beki wa Chelsea, David Luiz jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Spurs ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Kipindi cha pili, Delle Alli dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 16 na Heung-Min mwenyewe dakika ya 54, wakati la Chelsea lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 85 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YALIYOIKUTA CHELSEA WEMBLEY...WAMEPIGWA 3-1 NA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top