Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza wenyeji, AFC Bournemouth 2-1 jioni ya leo Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Callum Wilson alianza kuifungia Bournemouth dakika ya 11, kabla ya Anthony Martial kuisawazishia United dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League to face employment tribunal next month after being accused
of racial discrimination by a former employee... with chief executive
Richard Masters set to be called as a witness
-
EXCLUSIVE BY SAMI MOKBEL: The Premier League will stand accused of racial
discrimination by a former member of their equalities department in court
next mo...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment