• HABARI MPYA

    Friday, November 10, 2017

    DEPAY AIFUNGIA BAO PEKEE UHOLANZI YAIPIGA 1-0 SCOTLAND

    Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao pekee la ushindi dakika ya 40 wakiwapiga 1-0 wenyeji Scotland, Uwanja wa Pittodrie mjini Aberdeen katika mchezo wa kirafiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEPAY AIFUNGIA BAO PEKEE UHOLANZI YAIPIGA 1-0 SCOTLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top