Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ontario students cheer on Team Canada: 'You know you live in Canada when
the government orders schools to have Olympic hockey games on TV'
-
Ontario Premier Doug Ford encouraged schools to let students watch Team
Canada’s Olympic hockey games during class, drawing praise and nostalgia as
classro...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment