Mshmabuliaji wa Nice, Mario Balotelli akienda nje baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kuvua jezi wakati anashangilia baada ya kuifungia timu yake bao la usindi zikiwa zimesalia dakika nne mchezo dhidi ya -Lorient kumalizika katika Ligue ! ya Ufaransa. Ricardo Pereira alianza kuifungia Nice dakika ya 11, kabla ya Benjamin Moukandjo kuwasawazishia wageni dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL grandfather and high school coach Philip Rivers sends his players wild
with touchdown throw vs 49ers
-
The veteran quarterback, who was coaching high school football just weeks
ago, threw two touchdown passes in a gritty display against the San
Francisco 49e...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment