Mshmabuliaji wa Nice, Mario Balotelli akienda nje baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kuvua jezi wakati anashangilia baada ya kuifungia timu yake bao la usindi zikiwa zimesalia dakika nne mchezo dhidi ya -Lorient kumalizika katika Ligue ! ya Ufaransa. Ricardo Pereira alianza kuifungia Nice dakika ya 11, kabla ya Benjamin Moukandjo kuwasawazishia wageni dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu is left stunned by his giant opponent's 's**t' act just before
their world title fight: 'Professionals don't do that'
-
The Aussie will be giving away an amazing 23cm in height to his 197cm
rival, not to mention a huge reach advantage. But a detail in the
American's preparat...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment