• HABARI MPYA

    Friday, March 21, 2014

    ROBO FAINALI EUROPA LEAGUE HII HAPA...

    MUDA mfupi baada ya kutoka kwa ratiba ya Robo Fainali ya Ligi Mabingwa Ulaya, UEFA imepiga hatua nyingine kwa kutoa droo ya Robo Fainali ya Europa League.
    Wababe wa Ureno, Benfica watamenyana na AZ, wakati Lyon watapambana na Juventus, Basle na Valencia na Porto na Sevilla
    Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 3 wakati za marudiano zitapigwa Aprili 10, mwaka huu.
    Mwali: Taji la Europa League likiwa mjini Nyon, Uswisi wakati wa upangaji wa droo ya Robo Fainali

    ROBO FAINALI EUROPA LEAGUE 2014

    AZ vs Benfica
    Lyon vs Juventus
    Basle vs Valencia
    Porto vs Sevilla
    Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 3 wakati za marudiano zitapigwa Aprili 10, mwaka huu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ROBO FAINALI EUROPA LEAGUE HII HAPA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top