• HABARI MPYA

    Monday, March 31, 2014

    ERITREA YAJITOA AFCON 2015

    SHIRIKISHO la Soka Eritrea limelitaarifu Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kujitoa kwenye michuano ya 30 ya Kombe la Mataifa ya Afrika ambayo fainali zake zitafanyika nchini Morocco mwaka 2015.
    Taarifa ya CAF iliyotumwa BIN ZUBEIRY, imesema kwamba kwa maana hiyo, mchezo wa hatua ya mchujo baina ya Eritrea na Sudan Kusini umefutwa na sasa wapinzani wao hao wanafuzu moja kwa moja hatua inayofuata.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ERITREA YAJITOA AFCON 2015 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top