• HABARI MPYA

    Monday, January 13, 2020

    AGUERO AWEKA REKODI MPYA YA HAT TRICK MAN CITY YASHINDA 6-1

    Sergio Aguero akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za 28, 57 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park usiku wa jana, hiyo ikiwa ni hat-trick yake ya 12 kwenye Ligi Kuu ya England na kuwa mchezaji anayeongoza kufunga mabao matatu, matatu katika mechi moja. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Riyad Mahrez dakika ya 18 na 24 na Gabriel Jesus dakika ya 45 na ushei, wakati la Villa lilifungwa na Anwar El Ghazi kwa penalti dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AWEKA REKODI MPYA YA HAT TRICK MAN CITY YASHINDA 6-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top