Sergio Aguero akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za 28, 57 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park usiku wa jana, hiyo ikiwa ni hat-trick yake ya 12 kwenye Ligi Kuu ya England na kuwa mchezaji anayeongoza kufunga mabao matatu, matatu katika mechi moja. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Riyad Mahrez dakika ya 18 na 24 na Gabriel Jesus dakika ya 45 na ushei, wakati la Villa lilifungwa na Anwar El Ghazi kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp breaks silence on Arne Slot's impending move to Liverpool as
outgoing Anfield boss calls role 'the best job in the world' ahead of his
emotional exit
-
LEWIS STEELE: Mail Sport understands that Liverpool and the Feyenoord boss
are in advanced negotiation stages and a deal for Slot to join the club
could be...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment