Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia baada ya ushindi wa penalti 4-1 kufuatia sare ya 0-0 dhidi ya mahasimu wao wa Jiji, Atletico Madrid kwenye fainali ya Super Cup ya Hispania usiku wa jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah, Saudi Arabia. Penalti za Real iliyomaliza pungufu baada ya Federico Valverde kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 115 zilifungwa na Carvajal, Rodrygo, Luka Modric na Sergio Ramos, wakati ya Atletico ilifungwa na Saul pekee huku Thomas Teye Partey na Kieran Trippier wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bayer Leverkusen boss Xabi Alonso hints that David Moyes calling his bench
a 'disgrace' last week sparked bust-up with West Ham dug-out in return leg
that saw two assistant coaches sent off
-
The Hammers were knocked out after Leverkusen came from behind to claim a
1-1 draw at the London Stadium, with their 2-0 victory at the BayArena
giving the...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment