Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Drake bets $200,000 on Jake Paul to beat Anthony Joshua - with incredible
pay-out - and risks paddling him with his infamous 'curse'
-
Jake Paul doesn't need much help to make himself the unfancied option in
his Netflix mega-fight against Anthony Joshua - but Drake might have just
delivered.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment