Mohamed Salah akishangilia na mtokea benchi Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Salzburg kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Wals-Siezenheim. Bao la kwanza lilifungwa na Naby Keita dakika ya 57 na kwa ushindi huo Liverpool inatinga hatua ya 16 Bora kama kinara wa kundi kwa pointi zake 13, ikifuatiwa na Napoli yenye pointi 12, Salzburg saba na Genk pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool haven't scored from open play in over SIX hours of football...
Have the Reds lost their killer edge at the worst time? And is Klopp's
farewell in danger of turning sour?
-
With so much to play for, Liverpool were poised to make this season one to
remember and deliver an epic send-off for their manager. But the past
fortnight ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment