Marcus Rashford akishangilia na mchezaji mwenzake, Anthony Martial baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Colchester United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Rashford alifunga dakika ya 51 na Martial dakika ya 61, wakati bao lingine Ryan Jackson wa Colchester United alijifunga dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment