Marcus Rashford akishangilia na mchezaji mwenzake, Anthony Martial baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Colchester United kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Rashford alifunga dakika ya 51 na Martial dakika ya 61, wakati bao lingine Ryan Jackson wa Colchester United alijifunga dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders' Maxx Crosby, Rams' Puka Nacua Join Jordan Brand's Roster of Elite
Athletes
-
Las Vegas Raiders defensive end Maxx Crosby and Los Angeles Rams wide
receiver Puka Nacua are the newest members of Jordan Brand's expansion into
the NFL. ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment