Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akikimbia kushangilia baada ya kuisawazishia Real Madrid dakika ya 90+5 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Valencia iliyotangulia kwa bao la Carlos Soler dakika ya 78 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Matokeo hayo yanamaanisha Real Madrid inaendelea kulingana kwa pointi na mabingwa watetezi, Barcelona 35 kila timu baada ya mechi 16, ingawa wanazidiwa wastani wa mabao tu kuelekea El Clasico usiku wa Jumatano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ole Gunnar Solskjaer keeping 'fingers crossed' Marcus Rashford is fit to play against Granada
-
Rashford missed training on Wednesday with an ongoing foot and ankle issue,
but manager Ole Gunnar Solskjaer has his 'fingers crossed' he will be
available...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment