MESSI NA SUAREZ WOTE WAFUNGA BARCELONA YAICHAPA ALAVES 4-1
Kutoka kulia Lionel Messi, Luis Suarez, Antoine Griezmann na Arturo Vidal wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa Barcelona wa 4-1 dhidi ya Deportivo Alavés leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Griezmann alifunga dakika ya 14, Vidal dakika ya 45, Messi dakika ya 69 na Suarez dakika ya 75 kwa penalti, wakati bao pekee la Alaves limefungwa na Pere Pons dakika ya 56 na kwa ushindi huo katika mchezo wa 18, Barca inafikisha pointi 39, tatu zaidi ya Real Madrid iliyocheza mechi 17PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment