Refa Martin Atkinson akimuonyesha kadi nyekundu kipa wa Manchester City, Ederson dakika ya 12 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Wolverhampton jana Uwanja wa Molineux. Wolves ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Adama Traore dakika ya 55, Raul Jimenez dakika ya 82 na Matt Doherty dakika ya 89, baada ta Man City kutangulia kwa mabao ya Raheem Sterling dakika ya 25 na 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: LeBron James, Anthony Davis React to Lakers Facing Elimination vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers, yet again, have fallen into an 0-3 playoff deficit
against the Denver Nuggets, this time in the first round of the NBA
playoffs. A…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment