Jonathan Kodjia akishangilia baada ya kuifungia Aston Villa mabao mawili dakika za 37 na 45 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao usiku wa jana Uwanja wa Villa Park. Mabao mengine ya Aston Villa yalifungwa na Conor Hourihane dakika ya 14, Morgan Boyes aliyejifunga dakika ya 17 na Wesley Moraes dakika ya 90 na ushei na kuitupa nje Lierpool iliyotumia wachezaji wa timu ya vijana kutokana na kikosi cha kwanza kwenda Qatar kwenye Klabu Bingwa ya Dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment