Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Chelsea dakika ya 19 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lille kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Cesar Azpilicueta dakika ya 35, wakati la Lille lilifungwa na Loic Remy dakika ya 78 na kwa matokeo hayo, The Blues inaungana na Valencia kufuzu hatua ya 16 Bora baada ya wote kumaliza na pointi 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced A-League star Ulises Davila to be sentenced for corrupt conduct
in 2026 - as Football Australia issues its own bans over spot-fixing from
three other tarnished players
-
Disgraced A-League star Ulises Davila will be sentenced for corrupt conduct
next year after bail was continued in Sydney's Downing Centre on December
19.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment