• HABARI MPYA

    Sunday, December 29, 2019

    MANE AFUNGA BAO PEKEE LIVERPOOL YAILAZA WOLVES 1-0 ANFIELD

    Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANE AFUNGA BAO PEKEE LIVERPOOL YAILAZA WOLVES 1-0 ANFIELD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top