Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 49 ikiwalaza Wolverhampton Wanderers 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 55 katika mchezo wa 19 na kuendelea kuongoza EPL kwa pointi 13 zaidi ya Leicester City na 17 zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool failed but gave fans hope that the Jurgen Klopp era can still
have a magical ending, writes LEWIS STEELE
-
LEWIS STEELE AT STADIO DI BERGAMO: If you are going to fail, then make sure
you fail beautifully. That was the rallying cry of Jurgen Klopp beforehand.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment