Simba Queens imeedeleza ubabe kwa Yanga Princess baada ya ushindi wa 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Mwanahamisi Omar dakika ya 13 na Neema Kilinga mawili dakika ya 35 na 86, wakati la Yanga Princess limefungwa na Shelda Boniface dakika ya 25
Lakers Are the Best Team in the NBA, and We Haven't Even Seen Their Best
-
Following Thursday's 113-106 road victory over the Milwaukee Bucks , the
Los Angeles Lakers are 12-4. That's the best record in the NBA ...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment