Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Ditram Nchimbi akiwa hoi baada ya mazoezi magumu gym mjini Dar es Salaam jana. Bado haifahamiki kama Ditram Nchimbi aliyesajiliwa kutoka Azam FC mwezi huu baada ya kufanya vizuri akicheza kwa mkopo Polisi Tanzania kama ataanza kucheza kesho, Yanga ikimenyana na Biashara United ya Musoma mkoani Mara kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Essendon vs Collingwood LIVE: All the latest updates from the AFL's Anzac
Day match
-
Daily Mail Australia live blog: Get all the latest scores and updates as
the Bombers take on the Magpies in one of the season's most anticipated
matches.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment