Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Ditram Nchimbi akiwa hoi baada ya mazoezi magumu gym mjini Dar es Salaam jana. Bado haifahamiki kama Ditram Nchimbi aliyesajiliwa kutoka Azam FC mwezi huu baada ya kufanya vizuri akicheza kwa mkopo Polisi Tanzania kama ataanza kucheza kesho, Yanga ikimenyana na Biashara United ya Musoma mkoani Mara kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment