Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akichukua mpira kwa ustadi wa hali ya juu mbele ya beki wa Green Warriors katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 5-1, mabao yake yakifungwa na washambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma mawili, Muivory Coast Richard Ella Djodi na viungo Joseph Mahundi na Iddi Kipagwile kwa penalti
Ewart Shadoff, Hall and Korda in Chevron contention
-
English pair Jodie Ewart Shadoff and Georgia Hall enjoy strong starts a the
Chevron Championship in Texas as American Lauren Coughlin leads.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment