Katibu wa Yanga SC, David Luhago (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo beki wa kushoto, Adeyum Ahmad Suleiman baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea JKT Tanzania kufuatia kung'ara kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge akiwa na Zanzibar mjini Kampala nchini Uganda mwezi huu
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment