Kipa wa Manchester United, David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING NEWS: Ghana’s Alfred Duncan completes Cagliari move
-
Italian Serie A side Cagliari have announced the signing of Ghana
midfielder Alfred Duncan on loan with an option to purchase.On Saturday,
GHANASoccernet.c...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment