• HABARI MPYA

    Sunday, December 22, 2019

    DE GEA 'ATOA BOKO' MAN UNITED YACHAPWA 2-0 NA WATFORD VICARAGE ROAD

    Kipa wa Manchester United,  David de Gea akisikitika baada ya kufanya makosa yaliyomuwezesha Ismaila Sarr kuifungia Watford bao la kwanza dakika ya 50 Mashetani Wekundu wakichapwa 2-0 na wenyeji wao hao kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vicarage Road. Bao la pili la Watford limefungwa na Troy Deeney kwa penalti baada ya Aaron Wan-Bissaka kumchezea rafu Sarr 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DE GEA 'ATOA BOKO' MAN UNITED YACHAPWA 2-0 NA WATFORD VICARAGE ROAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top