Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 38 na 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 49 baada ya ushindi huo na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Leicester City wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment