Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 38 na 90 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 49 baada ya ushindi huo na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 10 zaidi ya Leicester City wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sri Lanka v England: Tourists wobble chasing 74 after Jack Leach takes 5-122
-
England need 36 runs on the final day to win the first Test against Sri
Lanka despite losing three wickets in a chaotic end to the fourth day in
Galle.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment