Bondia Mmarekani, Gervonta 'Tank' Davis (kushoto) akirejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha Yuriorkis Gamboa (kulia) kwa mara ya tatu katika raundi ya 12 kabla ya refa Jack Reiss kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) na kutwaa taji la WBA uzito wa Light Alfajiri ya leo ukumbi wa State Farm Arena Jijini Atlanta, Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment