• HABARI MPYA

    Monday, December 30, 2019

    DE BRUYNE ASETI MOJA, AFUNGA MOJA MAN CITY YAICHAPA SHEFFIELD 2-0

    Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 82 akitoka kumpasia Sergio Aguero kufunga la kwanza dakika ya 52 katika ushindi wa 2-0 dhdi ya Sheffield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DE BRUYNE ASETI MOJA, AFUNGA MOJA MAN CITY YAICHAPA SHEFFIELD 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top