• HABARI MPYA

    Sunday, December 15, 2019

    DE BRUYNE APIGA MBILI MAN CTY YAICHAPA ARSENAL 3-0 EMIRATES

    Kevin De Bruyne akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 40, kufuatia Raheem Sterling kufunga la pili dakika ya 15 katka ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates mjini London 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DE BRUYNE APIGA MBILI MAN CTY YAICHAPA ARSENAL 3-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top