Kevin De Bruyne akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kufunga na la tatu dakika ya 40, kufuatia Raheem Sterling kufunga la pili dakika ya 15 katka ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two for Havertz and White as Arsenal thrash Chelsea
-
Arsenal move three points clear at the top of the Premier League with a
crushing victory over Chelsea at Emirates Stadium.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment