Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 12 akimalizia pasi ya Mateo Kovac na ya 45 na ushei kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jose Mourinho kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment