Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 12 akimalizia pasi ya Mateo Kovac na ya 45 na ushei kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jose Mourinho kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers: Ex-chairman Dave King insists ousting Mike Ashley was key moment in club's journey to title
-
Victory over St Mirren came on the sixth anniversary of the EGM in which
King and his colleagues forced boardroom change at Ibrox, ousting a Mike
Ashley-in...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment