Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ben White's agent hits back at Arsenal star's critics and says 'no-one
knows what's going on in his life' - after reposting a critique of Harry
Redknapp's 'slam the door' comments on his England exile
-
Ben White's agent has hit back at critics of the Arsenal star and says
'no-one knows what's going on in his life'. His spiky response comes after
criticism...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment