Mshambuliaji Alexandre Lacazette (kulia) akifurahia na mwenzake, Bukayo Saka baada ya kuifungia tmu hiyo bao la kwanza dakika ya78 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Standard Liege kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Saka dakika ya 81, wakati ya Standard Liege yalifungwa na Samuel Bastien dakika ya 47 na Selim Amallah dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Harden Says Luka Doncic Is a 'Special One' After Nets' Loss to Mavericks
-
James Harden sees some similarities between himself and Luka Doncic,
acknowledging that the Dallas Mavericks have a "special" player in the
All-Star guard ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment