Anthony Martial akishangilia baada ya kuifunga mabao mawili Manchester United dakika za 24 na 51 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yamefungwa na Mason Greenwood dakika ya 36 na Marcus Rashford dakika ya 41, wakati bao pekee la Newcastle United limefungwa na Matty Longstaff dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shohei Ohtani's former interpreter Ippei Mizuhara pleads guilty to bank
fraud over $17M theft from Dodgers star
-
Mizuhara, who gambled on several sports except for baseball, is expected to
enter a guilty plea 'in the coming weeks,' with his arraignment scheduled
for M...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment