Anthony Martial akishangilia baada ya kuifunga mabao mawili Manchester United dakika za 24 na 51 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yamefungwa na Mason Greenwood dakika ya 36 na Marcus Rashford dakika ya 41, wakati bao pekee la Newcastle United limefungwa na Matty Longstaff dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal fans slam 'shocking' defending in build up to Leicester goal
-
Having seen Leicester enjoy the better start in the game, and were gifted
the lead in the sixth minute. Foxes midfielder Youri Tielemans drove into
the cav...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment