Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 14 na Thomas Muller dakika ya 45, wakati la Spurs lilifungwa na Ryan Sessegnon dakika ya 20. Bayern Munich imeongoza kundi kwa pointi zake 18, ikifuatiwa na Spurs pointi 10 na zote zinasonga mbele hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden reveals what it's REALLY like to play for Pep Guardiola in an
It's All Kicking Off podcast special
-
The 23-year-old, who announced this week that he and his girlfriend are
expecting their third child, sat down with It's All Kicking Off co-host and
Mail Sp...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment