Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 75 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa BayArena. Bao la pili lilifungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 90 na ushei. Juve imeongoza kundi hilo kwa pointi zake, ikifuatiwa na Atletico Madrid iliyomaliza na pointi 10 baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lokomotiv Moscow jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC lose Commonwealth Games rights after over 70 years - as TNT outbid
broadcaster to show Glasgow 2026
-
The BBC had been the principal partner of the Commonwealth Games since
1954, having provided free-to-air coverage for 18 consecutive editions of
the multi-...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment