• HABARI MPYA

    Thursday, December 12, 2019

    RONALDO AFUNGA JUVENTUS YAICHAPA BAYER LEVERKUSEN 2-0

    Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 75 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa BayArena. Bao la pili lilifungwa na  Gonzalo Higuain dakika ya 90 na ushei. Juve imeongoza kundi hilo kwa pointi zake, ikifuatiwa na Atletico Madrid iliyomaliza na pointi 10 baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lokomotiv Moscow jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA JUVENTUS YAICHAPA BAYER LEVERKUSEN 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top