Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 34, 50 na 54 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Maksimir, Zagreb. Bao la nne la Man City lilifungwa na Phil Foden dakika ya 84, wakati la Dinamo Zagreb lilifungwa na Daniel Olmo dakika ya 10. Manchester City imeongoza kundi hilo kwa pointi zake 14, ikifuatiwa na Atalanta iliyomaliza na pointi saba baada ya kuwafunga wenyeji Shakhtar Donetsk 3-0 jana na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment