Ivan Rakitic akinyoosha mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 26 akimalizia kazi nzuri ya Sergi Roberto ikiilaza Real Madrid 1-0 Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid katika mchezo La Liga. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia nafasi ya pili ingawa wana mechi moja, wakati Real Madrid wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 48 za mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League to face employment tribunal next month after being accused
of racial discrimination by a former employee... with chief executive
Richard Masters set to be called as a witness
-
EXCLUSIVE BY SAMI MOKBEL: The Premier League will stand accused of racial
discrimination by a former member of their equalities department in court
next mo...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment