• HABARI MPYA

    Friday, November 02, 2018

    ROONEY AKOSA PENALTI DC UNITED YATOLEWA MCHUJO MAREKANI

    Mshambuliaji Wayne Rooney akiwa haamini macho yake baada ya kukosa penalti ya kwanza, DC United ikitolewa kwa penalti 3-2 kufuatia sare ya ya 2-2 na Columbus Crew katika mchujo wa Ligi ya Marekani, maarufu kama MLS Alfajiri ya leo Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ROONEY AKOSA PENALTI DC UNITED YATOLEWA MCHUJO MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top