Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kufunga bao la pili dakika ya 81 Juventus ikiilaza 2-0 AC Milan Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan usiku wa jana katika mchezo wa Serie A, bao la kwanza likifungwa na Mario Mandzukic dakika ya nane katika mchezo ambao mshambuliaji wa AC Milan, Gonzalo Higuain alikosa penalti dakika ya 41 kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 83 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tess Crosley's husband looks downcast as couple step out without their
wedding rings while Lachie Neale scandal keeps making headlines
-
New photos of Crosley and her husband have surfaced as footy's biggest
relationship drama keeps festering.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment