Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za nne, 11 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco ya kocha Thierry Henry kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco. Bao lingine la PSG lilifungwa na Neymar kwa penalti dakika ya 64 na sasa Thierry Henry anafikisha mechi sita tangu aajiriwe Monaco bila ushindi, mbili zilizopita pia akifungwa 4-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sterling 'understands' Chelsea boos - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says it is important the club's fans
and players 'move on' after Raheem Sterling was booed by supporters.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment