Paulo Dybala akiifungia kwa penalti Juventus dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Juventus mjini Torino katika mchezo wa Serie A usiku wa jana dhidi ya AC Milan. Juve ilishinda 2-1 bao lingine likifungwa na Medhi Benatia dakika ya 30, wakati la Milan lilifungwa na Carlos Bacca dakika ya 43 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinaongoza Serie A kwa pointi 11 kikitimiza pointi 70 baada ya kucheza mechi 28 zaidi dhidi ya AS Roma wenye pointi 59 za mechi 27 katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mel Kiper 2024 NFL Draft Big Board: Odunze Tops Nabers in Final 150-Player
Rankings
-
Momentum is building for Rome Odunze to be the second receiver off the
board in the 2024 NFL draft. ESPN's Mel Kiper moved Odunze to No. 4 on his
final big…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment