Paulo Dybala akiifungia kwa penalti Juventus dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Juventus mjini Torino katika mchezo wa Serie A usiku wa jana dhidi ya AC Milan. Juve ilishinda 2-1 bao lingine likifungwa na Medhi Benatia dakika ya 30, wakati la Milan lilifungwa na Carlos Bacca dakika ya 43 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinaongoza Serie A kwa pointi 11 kikitimiza pointi 70 baada ya kucheza mechi 28 zaidi dhidi ya AS Roma wenye pointi 59 za mechi 27 katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Howe reveals the secret behind Will Osula's success after Newcastle
substitute's stoppage-time matchwinner against Man United
-
IAN LADYMAN AT ST JAMES' PARK: Eddie Howe revealed Newcastle's match winner
Will Osula scored an identical goal in training on Tuesday after asking to
do e...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment