Mario Balotelli akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kufunga bao lake la 10 msimu huu dakika ya 71, timu yake, Nice ikilazimishwa sare ya 2-2 Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice na Caen katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa. Bao lingine la Nice lilifungwa na Anastasios Donis dakika ya 77, wakati ya wageni yalifungwa na Ivan Santini dakika ya 36 na Yann Karamoh dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment